Habari watanzania ningependa mtambue kuhudu ugonjwa ujulikanao kama burudani ugonjwa huu upatikana sana maeneo ya adhabu yaan maeneo kama mahabusu ama mahakani palee kifungoni ugonjwaa huu ni ugonjea ambao dalili zake ni kama zifatazo
. kuwashwa mwili mzima
.kuhisi homa ama mwili kua wa moto sana
.mdomo kuungua pembezoni na kuweka kidonda
. kuwashwa sehemu za siri
. kuwashwa matakoni na kuleta uvimbe wa kawaida na mwingine kua mkubwa
. mkononi kua na upele unaowasha sana na kutoa maji maji kama usaa
.miguuni napo kutoa upele wnye kutoa usaa pia ki ujumla naweza kusema hutoa usaa mwili mzima hivo kupelekea kujikuna mara kwa mara tena bila mpangilio na uhumia sana asa sehemu za siri na kwenye mahungio ya mapajaa hujaa vidondaa sana uhumia sana hasa pale unapo rnda kuoga ama kugusana na maji.
DALILI ZA UGONJWA HUU
. dalili kuu ya ugonjwaa huu ni kujiwasha
. kua na vipele vinavotoa usaa au majimaji
Kujikunaa sehemu za siri pamoja na matakoni
TIBA KUU YA UGONJWA WA BURUDANI
tiba ya ugonjwa huu ni sindano peke yake hakuna kidonge wala dawa ya kujipaka ila njia ya pekee ya kupona ni kufungwa sindano kutokana na masmbukizi haya kungia kwenye damu moja kwa moja hivo usidanganywe
Nashkuru sana kwa kusoma mambo haya