Simba sio watu wazuri mpaka mo derwij kaona
Ni baada ya mdhamini wao mkuu wa timu hiyo mr mo dewji kuona uzembe wao hivo kaamua kuwaimiza kufanya madhambulizi au kazi kwa kujituma na sio kubweteka na kungoja maripo ya bure bure hivo amedai wale wachezaji wote ambao mikataba yao inaisha mwaka huu hawata endelea nao mpaka pale watakapo kua wame jilekebisha ka kujutuma

0 Comments:
Post a Comment