Video: Harmorapa afunguka kutoswa na Meneja wake
Akiongea na Dar24 Media kwa njia ya simu akiwa kujijini kwao msanii huyo amesema amekuwa kimya kutokana kutokuwa na Meneja na kuwa na safari nyingi za nje ya nchi lakini muda si mrefu ataanza kuachia ngoma zake mpya.
Sikiliza mahojiano ya Harmorapa na Dar24 Media hapa chini;

0 Comments:
Post a Comment