tupendane

Cristiano amuaga Zidane kwa hisia


Cristiano amuaga Zidane kwa hisia

5 mins ago Comments Off on Cristiano amuaga Zidane kwa hisia
Baada ya uamuzi wa kocha wa Real Madrid kutangaza kuhusu mpango wake wa kuachana na Real Madrid nyota wa klabu hiyo, Cristiano Ronaldo amemtumia ujumbe mzito wenye hisia kali akionesha mchango wake mkubwa katika kumfanya awe mtu wa kuheshimika.
Cristiano Ronaldo maarufu kama CR7 raia wa Ureno ametumia ukurasa wake wa Instagram kumfikishia ujumbe huo mzito Zidane;
”Solo siento orgullo de haber sido tu jugador. Mister, gracias por tantisimo” akimaanisha
”Ninajivunia kuwa mchezaji wako, nakunifanya niheshimike, nakushukuru sana”.

0 Comments: